Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
וינתן לה לתת רוח בצלם החיה למען דבר ידבר צלם החיה ועשתה כי כל אשר אימן משתחוים לצלם החיה מות יומתו׃
akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
וכי לא יוכל איש לקנות או למכר כי אם בהיות עליו תו החיה או שמה או מספר שמה׃
kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
וינתן לה פה ממלל גדלות ונאצות ושלטן נתן לה להלחם ארבעים ושנים חדשים׃
kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
וארא והנה אחד מראשיה כפצוע עד מות ומכת מות אשר לו נרפאה ותשתומם כל הארץ אחרי החיה׃
maana mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la mungu litakapotimia.
כי האלהים נתן בלבם לעשות את עצתו ולעשות עצה אחת ולתת את ממשלתם לחיה עד כי ישלמו דברי האלהים׃
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
ותתעה את ישבי הארץ על ידי האותות אשר נתן לה לעשות בפני החיה באמרה אל ישבי הארץ לעשות צלם לחיה אשר הכתה מכת חרב ותחי׃
na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, "yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,
ומלאך שלישי בא אחריהם ויאמר בקול גדול כל אשר ישתחוה לפני החיה ולפני צלמה ונשא את תוה על מצחו או על ידו׃
moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana."
ועשן ענוים יעלה לעולמי עד ולא ימצאו מנוחה יומם ולילה המשתחוים לחיה ולצלמה ואשר ישא את תו שמה׃
watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "nani aliye kama huyu mnyama? ni nani awezaye kupigana naye?"
וישתחוו לתנין אשר נתן ממשלה לחיה וישתחוו לחיה ויאמרו מי ידמה לחיה ומי יוכל להלחם אתה׃
kisha, roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
ויוליכני ברוח המדברה וארא והנה אשה ישבת על חיה אדמה כתולע מלאת שמות גדופים ולה שבעה ראשים ועשר קרנים׃
huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
החיה אשר ראיתה היתה ואיננה ועתידה לעלות מן התהום וללכת לאבדון וישבי הארץ אשר שמם איננו נכתב בספר החיים מיום הוסד תבל ישתוממו בראתם את החיה אשר היתה ואיננה ותבוא׃