Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
walipomwona wakamwambia, "kila mtu anakutafuta."
וימצאהו ויאמרו אליו הנה כלם מבקשים אותך׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
walipomwona, wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.
ויהי כראותם אתו וישתחוו לו ומקצתם נחלקו בלבם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
ובראותם את האיש הנרפא עמד אצלם לא מצאו לדבר נגדם דבר׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: huyu ndiye mrithi. basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu.
וכראות אתו הכרמים נועצו יחדו לאמר זה הוא היורש לכו ונהרגהו ותהי לנו הירשה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, watu wote katika mji ule walitoka, wakamwendea yesu; na walipomwona, wakamsihi aondoke katika nchi yao.
והנה כל העיר יצאה לקראת ישוע וכראותם אתו ויבקשו ממנו לעבר מגבולם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliingiwa na hofu, wakasema, "ni mzimu!" wakapiga kelele kwa hofu.
והתלמידים בראתם אותו מתהלך על פני הים נבהלו לאמר מראה רוח הוא ויצעקו מפחד׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!
ויהי כראות הכרמים את הבן ויאמרו איש אל אחיו זה הוא היורש לכו ונהרגהו ונאחזה בנחלתו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga paulo.
וימהר ויקח אתו אנשי צבא ושרי מאות וירץ אליהם ויהי כראותם את שר האלף ואת אנשי הצבא ויחדלו מהכות את פולוס׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, baadhi ya walimu wa sheria ambao walikuwa mafarisayo walipomwona yesu akila pamoja na watu wenye dhambi na watoza ushuru, wakawauliza wanafunzi wake, "kwa nini anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
והסופרים והפרושים ראו אתו אכל עם המוכסים והחטאים ויאמרו אל תלמידיו למה זה עם החטאים והמוכסים אכל רבכם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak