Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
hawakuelewa kwamba yesu alikuwa akisema nao juu ya baba.
non capirono che egli parlava loro del padre
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
ma essi non compresero le sue parole
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
questa similitudine disse loro gesù; ma essi non capirono che cosa significava ciò che diceva loro
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini wao hawakuelewa hata kidogo jambo hilo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa.
ma non compresero nulla di tutto questo; quel parlare restava oscuro per loro e non capivano ciò che egli aveva detto
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
(alidhani kwamba waisraeli wenzake wangeelewa kwamba mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini hawakuelewa hivyo.)
egli pensava che i suoi connazionali avrebbero capito che dio dava loro salvezza per mezzo suo, ma essi non compresero
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.
ma essi non comprendevano questa frase; per loro restava così misteriosa che non ne comprendevano il senso e avevano paura a rivolgergli domande su tale argomento
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo.
sul momento i suoi discepoli non compresero queste cose; ma quando gesù fu glorificato, si ricordarono che questo era stato scritto di lui e questo gli avevano fatto
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa maana wenyeji wa yerusalemu na wakuu wao hawakumtambua yeye kuwa mwokozi. wala hawakuelewa maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato. hata hivyo, waliyafanya maneno ya manabii yatimie kwa kumhukumu yesu adhabu ya kifo.
gli abitanti di gerusalemme infatti e i loro capi non l'hanno riconosciuto e condannandolo hanno adempiuto le parole dei profeti che si leggono ogni sabato
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: