Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
wala usiifanyie haraka hii qur'ani, kabla haujamalizika ufunuo wake. na sema: mola wangu mlezi!
non aver fretta di recitare, prima che sia conclusa la rivelazione, ma di': “signor mio, accresci la mia scienza”.
hizi ni habari za mambo ambayo yalifunuliwa na yesu kristo. mungu alimpa kristo ufunuo huu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo yanapaswa kutukia karibuni. kristo alimtuma malaika wake amjulishe yohane, mtumishi wake, mambo hayo,
rivelazione di gesù cristo che dio gli diede per render noto ai suoi servi le cose che devono presto accadere, e che egli manifestò inviando il suo angelo al suo servo giovanni
na haikuwa kwa mwanaadamu kwamba mwenyezi mungu amsemeze ila kwa wahyi (ufunuo), au kwa nyuma ya pazia, au kumtuma mjumbe. naye humfunulia ayatakayo kwa idhini yake.
non è dato all'uomo che allah gli parli, se non per ispirazione o da dietro un velo, o inviando un messaggero che gli riveli, con il suo permesso, quel che egli vuole.
timotheo mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia lukio na yasoni na sosipata jamaa zangu. mimi, tertio, ambaye nimeiandika barua hii, nawasalimu ninyi katika bwana. gayo, mkaribishaji wangu na wa kutaniko lote, anawasalimu ninyi. erasto msimamizi wa jiji anawasalimu ninyi, na pia kwarto ndugu yake. —— sasa kwa yeye anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa yesu kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale lakini sasa imefunuliwa na kujulishwa kupitia maandiko ya kinabii kati ya mataifa yote kwa kupatana na amri ya mungu anayedumu milele ili kuendeleza utii kwa njia ya imani; kwa mungu, mwenye hekima peke yake, kuwe na utukufu kupitia yesu kristo milele. amina.
timoteo, mio compagno d’opera, vi saluta, e anche lucio e giasone e sosipatro miei parenti. io, terzo, che ho scritto questa lettera, vi saluto nel signore. vi saluta gaio, ospite mio e di tutta la congregazione. vi saluta erasto, economo della città, come pure quarto suo fratello. — ora a colui che vi può rendere fermi secondo la buona notizia che io dichiaro e la predicazione di gesù cristo, conforme alla rivelazione del sacro segreto che per tempi di lunga durata è stato taciuto, ma che ora è stato reso manifesto ed è stato fatto conoscere per mezzo delle scritture profetiche fra tutte le nazioni secondo il comando dell’iddio eterno per promuovere l’ubbidienza mediante la fede: a dio, solo sapiente, sia la gloria per mezzo di gesù cristo per sempre. amen.