Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
lakini tangu wakati wa adamu mpaka wakati wa mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya adamu, ya kumwasi mungu. adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
しかし、アダムからモーセまでの間においても、アダムの違反と同じような罪を犯さなかった者も、死の支配を免れなかった。このアダムは、きたるべき者の型である。
henoki, ambaye ni babu wa saba tangu adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "sikilizeni! bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
アダムから七代目にあたるエノクも彼らについて預言して言った、「見よ、主は無数の聖徒たちを率いてこられた。
maana maandiko yasema: "mtu wa kwanza, adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini adamu wa mwisho ni roho awapaye watu uzima.
聖書に「最初の人アダムは生きたものとなった」と書いてあるとおりである。しかし最後のアダムは命を与える霊となった。
lakini ipo tofauti: neema ya mungu si kama dhambi ya adamu. maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani yesu kristo, mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake.
しかし、恵みの賜物は罪過の場合とは異なっている。すなわち、もしひとりの罪過のために多くの人が死んだとすれば、まして、神の恵みと、ひとりの人イエス・キリストの恵みによる賜物とは、さらに豊かに多くの人々に満ちあふれたはずではないか。