Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
ilipokuwa jioni, yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
vespere autem facto venit cum duodeci
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
petro alipokuwa anasafirisafiri kila mahali alifika pia kwa watu wa mungu waliokuwa wanaishi luda.
factum est autem petrum dum pertransiret universos devenire et ad sanctos qui habitabant lydda
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alifika nyumbani kwa petro, akamkuta mama mkwe wa petro amelala kitandani, ana homa kali.
et cum venisset iesus in domum petri vidit socrum eius iacentem et febricitante
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alifika bethsaida pamoja na wanafunzi wake. huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
et veniunt bethsaida et adducunt ei caecum et rogabant eum ut illum tangere
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
siku hizo, yesu alifika kutoka nazareti, mji wa galilaya, akabatizwa na yohane katika mto yordani.
et factum est in diebus illis venit iesus a nazareth galilaeae et baptizatus est in iordane ab iohann
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
samaritanus autem quidam iter faciens venit secus eum et videns eum misericordia motus es
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
baada ya hayo, yesu alifika mkoani yudea pamoja na wanafunzi wake. alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.
post haec venit iesus et discipuli eius in iudaeam terram et illic demorabatur cum eis et baptizaba
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
baada ya siku chache, felisi alifika pamoja na mkewe drusila ambaye alikuwa myahudi. aliamuru paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini yesu kristo.
post aliquot autem dies veniens felix cum drusilla uxore sua quae erat iudaea vocavit paulum et audivit ab eo fidem quae est in iesum christu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
paulo alifika derbe na lustra, ambako aliishi mfuasi mmoja aitwaye timotheo. mama yake ambaye pia alikuwa mfuasi, alikuwa myahudi; lakini baba yake alikuwa mgiriki.
pervenit autem in derben et lystram et ecce discipulus quidam erat ibi nomine timotheus filius mulieris iudaeae fidelis patre gentil
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mmojawapo wa walimu wa sheria alifika, akasikia mabishano yao. alipoona kwamba yesu aliwajibu vyema, akajitokeza akamwuliza, "katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?"
et accessit unus de scribis qui audierat illos conquirentes et videns quoniam bene illis responderit interrogavit eum quod esset primum omnium mandatu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yesu alifika katika nchi ya wagerasi, ng'ambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo.
et cum venisset trans fretum in regionem gerasenorum occurrerunt ei duo habentes daemonia de monumentis exeuntes saevi nimis ita ut nemo posset transire per viam illa
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja myahudi alifika, akamwinamia na kusema, "binti yangu amekufa sasa hivi. lakini, tafadhali njoo umwekee mkono wako naye ataishi."
haec illo loquente ad eos ecce princeps unus accessit et adorabat eum dicens filia mea modo defuncta est sed veni inpone manum super eam et vive
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak