Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu yosefu auchukue mwili wake.
et cum cognovisset a centurione donavit corpus iosep
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yule jemadari aliposikia habari za yesu, aliwatuma wazee fulani wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake.
et cum audisset de iesu misit ad eum seniores iudaeorum rogans eum ut veniret et salvaret servum eiu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
huko kulikuwa na jemadari mmoja mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
centurionis autem cuiusdam servus male habens erat moriturus qui illi erat pretiosu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kisha akamwamuru yule jemadari amweke paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
iussitque centurioni custodiri eum et habere requiem nec quemquam prohibere de suis ministrare e
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kulikuwa na mtu mmoja huko kaisarea aitwaye kornelio, jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho "kikosi cha italia."
vir autem quidam erat in caesarea nomine cornelius centurio cohortis quae dicitur italic
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "unataka kufanya nini? mtu huyu ni raia wa roma!"
quo audito centurio accessit ad tribunum et nuntiavit dicens quid acturus es hic enim homo civis romanus es
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, "kweli mtu huyu alikuwa mwana wa mungu!"
videns autem centurio qui ex adverso stabat quia sic clamans exspirasset ait vere homo hic filius dei era
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa roma kabla hajahukumiwa?"
et cum adstrinxissent eum loris dixit adstanti sibi centurioni paulus si hominem romanum et indemnatum licet vobis flagellar
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "hakika mtu huyu alikuwa mwana wa mungu."
centurio autem et qui cum eo erant custodientes iesum viso terraemotu et his quae fiebant timuerunt valde dicentes vere dei filius erat ist
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, yesu akaenda pamoja nao. alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie yesu: "bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
iesus autem ibat cum illis et cum iam non longe esset a domo misit ad eum centurio amicos dicens domine noli vexari non enim dignus sum ut sub tectum meum intre
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak