Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
callista alionekana katika dhifa nyingi za kitaifa akiwa ameketi pembeni ya rais.
Каллиста была замечана рядом с президентом на нескольких государственных церемониях.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wakati yesu alipokaribia yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
Когда же подходил Он к Иерихону, один слепой сидел у дороги, прося милостыни,
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mara nikachukuliwa na roho. kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.
И тотчас я был в духе; и вот, престол стоял на небе, и на престоле был Сидящий;
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini tangu sasa, mwana wa mtu atakuwa ameketi upande wa kulia wa mungu mwenyezi."
отныне Сын Человеческий воссядет одесную силы Божией.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yesu alipokuwa nyumbani ameketi kula chakula, watoza ushuru wengi na wahalifu walikuja wakaketi pamoja naye na wanafunzi wake.
И когда Иисус возлежал в доме, многие мытари и грешники пришли и возлегли с Ним и учениками Его.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.
И, войдя во гроб, увидели юношу, сидящего на правой стороне, облеченного в белую одежду; и ужаснулись.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni akielekea hekalu, petro, yakobo, yohane na andrea wakamwuliza kwa faragha,
И когда Он сидел на горе Елеонской против храма, спрашивали Его наедине Петр, и Иаков, и Иоанн, и Андрей:
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, ikiwa mmefufuka pamoja na kristo, panieni mambo ya juu, kule kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa mungu.
Итак, если вы воскресли со Христом, то ищите горнего, где Христос сидит одесную Бога;
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya hekalu. matajiri wengi walitoa fedha nyingi.
И сел Иисус против сокровищницы и смотрел, как народ кладет деньги в сокровищницу. Многие богатые клали много.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
baada ya hayo, yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye lawi, ameketi ofisini. yesu akamwambia, "nifuate!"
После сего Иисус вышел и увидел мытаря, именем Левия, сидящего у сбора пошлин, и говоритему: следуй за Мною.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, wakafika yeriko, naye yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mwombaji aitwaye bartimayo mwana wa timayo alikuwa ameketi kando ya barabara.
Приходят в Иерихон. И когда выходил Он из Иерихонас учениками Своими и множеством народа, Вартимей, сын Тимеев, слепой сидел у дороги, прося милостыни .
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
alipokuwa akipita, akamwona lawi mwana wa alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. yesu akamwambia, "nifuate!" lawi akasimama, akamfuata.
Проходя, увидел Он Левия Алфеева, сидящего у сбора пошлин, и говорит ему: следуй за Мною. И он , встав, последовал за Ним.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
kisha, roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
И повел меня в духе в пустыню; и я увидел жену, сидящую на звере багряном, преисполненном именами богохульными, с семью головами и десятью рогами.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu akamwambia, "wewe umesema! lakini nawaambieni, tangu sasa mtamwona mwana wa mtu ameketi upande wa kulia wa mwenyezi, akija juu ya mawingu ya mbinguni."
Иисус говорит ему: ты сказал; даже сказываю вам: отныне узрите Сына Человеческого, сидящего одесную силы и грядущего на облаках небесных.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak