Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!" wakamkemea huyo mama.
jer se mogae za nj uzeti vie od trista groa i dati siromasima. i vikahu na nju.
baada ya siku ya sabato, maria magdalene, salome na maria mama yake yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa yesu.
i poto prodje subota, marija magdalina i marija jakovljeva i solomija kupie mirisa da dodju i da pomau isusa.
"ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
koji ljubi oca ili mater veæma nego mene, nije mene dostojan; i koji ljubi sina ili kæer veæma nego mene, nije mene dostojan.
lakini yesu akawaambia watu wote, "mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la mungu na kulishika."
a on odgovarajuæi reèe im: mati moja i braæa moja oni su koji sluaju reè boiju i izvruju je.
halafu akamwambia yule mwanafunzi: "tazama, huyo ndiye mama yako." na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua akae nyumbani kwake.
potom reèe uèeniku: eto ti matere! i od onog èasa uze je uèenik k sebi.