A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
böylece yusuf da, davutun soyundan ve torunlarından olduğu için celilenin nasıra kentinden yahudiye bölgesine, davutun kenti beytleheme gitti.
maandiko matakatifu yasemaje? yanasema: kristo atatoka katika ukoo wa daudi, na atazaliwa bethlehemu, mji wa daudi!"
‹‹kutsal yazıda, ‹mesih, davutun soyundan, davutun yaşadığı beytlehem kentinden gelecek› denmemiş midir?››
kisha akawatuma bethlehemu akisema, "nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."
‹‹gidin, çocuğu dikkatle arayın, bulunca bana haber verin, ben de gelip ona tapınayım›› diyerek onları beytleheme gönderdi.
baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "twendeni moja kwa moja mpaka bethlehemu tukalione tukio hili bwana alilotujulisha."
melekler yanlarından ayrılıp göğe çekildikten sonra çobanlar birbirlerine, ‹‹haydi, beytleheme gidelim, rabbin bize bildirdiği bu olayı görelim›› dediler.
herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. akaamuru watoto wote wa kiume mjini bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
hirodes, yıldızbilimciler tarafından aldatıldığını anlayınca çok öfkelendi. onlardan öğrendiği vakti göz önüne alarak beytlehem ve bütün yöresinde bulunan iki ve iki yaşından küçük erkek çocukların hepsini öldürttü.