A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
kwa hakika wanao rudi nyuma baada ya kwisha wabainikia uwongofu, shetani huyo amewashawishi na amewaghuri.
coloro che volgono le spalle dopo che a loro è stata resa evidente la guida, sono quelli che satana ha sedotto e illuso.
akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na shetani. alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
e vi rimase quaranta giorni, tentato da satana; stava con le fiere e gli angeli lo servivano
watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. hawa hulisikia hilo neno lakini mara shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.
quelli lungo la strada sono coloro nei quali viene seminata la parola; ma quando l'ascoltano, subito viene satana, e porta via la parola seminata in loro
kwa hakika minong'ono hiyo inatokana na shetani ili awahuzunishe walio amini, na wala haitawadhuru chochote ila kwa idhini ya mwenyezi mungu.
il conciliabolo non è altro che opera di satana, per affliggere i credenti; ma in nulla può nuocer loro senza il permesso di allah.
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
e questa figlia di abramo, che satana ha tenuto legata diciott'anni, non doveva essere sciolta da questo legame in giorno di sabato?»
hapo, yesu akamwambia, "nenda zako shetani! imeandikwa: utamwabudu bwana mungu wako na kumtumikia yeye peke yake."
ma gesù gli rispose: «vattene, satana! sta scritto: e a lui solo rendi culto»
msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. kisha rudianeni tena mara, ili shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.
non astenetevi tra voi se non di comune accordo e temporaneamente, per dedicarvi alla preghiera, e poi ritornate a stare insieme, perché satana non vi tenti nei momenti di passione
lakini yesu akageuka, akamwambia petro, "ondoka mbele yangu shetani! wewe ni kikwazo kwangu. mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"
ma egli, voltandosi, disse a pietro: «lungi da me, satana! tu mi sei di scandalo, perché non pensi secondo dio, ma secondo gli uomini!»