Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
the palsy of death will surely come.
na uchungu wa kutoka roho utamjia kwa haki.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
and they come unto him, bringing one sick of the palsy, which was borne of four.
wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
when jesus saw their faith, he said unto the sick of the palsy, son, thy sins be forgiven thee.
yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "mwanangu, umesamehewa dhambi zako."
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
and there he found a certain man named aeneas, which had kept his bed eight years, and was sick of the palsy.
huko alimkuta mtu mmoja aitwaye enea ambaye kwa muda wa miaka minane alikuwa amelala kitandani kwa sababu alikuwa amepooza.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
and when they could not come nigh unto him for the press, they uncovered the roof where he was: and when they had broken it up, they let down the bed wherein the sick of the palsy lay.
kwa sababu ya huo umati wa watu, hawakuweza kumpeleka karibu na yesu. basi, wakatoboa sehemu ya dari iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa yesu. walipokwisha pata nafasi, wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
whether is it easier to say to the sick of the palsy, thy sins be forgiven thee; or to say, arise, and take up thy bed, and walk?
ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia mtu huyu aliyepooza, umesamehewa dhambi zako, au kumwambia, inuka! chukua mkeka wako utembee?
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
and his fame went throughout all syria: and they brought unto him all sick people that were taken with divers diseases and torments, and those which were possessed with devils, and those which were lunatick, and those that had the palsy; and he healed them.
habari zake zikaenea katika mkoa wote wa siria. wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество: