Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
voi siete gia mondi, per la parola che vi ho annunziato
ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
ora questo avvenne perché si adempisse ciò che era stato annunziato dal profeta
jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
vi dichiaro dunque, fratelli, che il vangelo da me annunziato non è modellato sull'uomo
ndugu, napenda mfahamu kwamba ile habari njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
dio però ha adempiuto così ciò che aveva annunziato per bocca di tutti i profeti, che cioè il suo cristo sarebbe morto
lakini ndivyo mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima kristo wake ateseke.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
egli è colui che fu annunziato dal profeta isaia quando disse: preparate la via del signore, raddrizzate i suoi sentieri
huyu yohane ndiye yule ambaye nabii isaya alinena juu yake aliposema: "sauti ya mtu imesikika jangwani: mtayarishieni bwana njia yake, nyoosheni vijia vyake."
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
la legge e i profeti fino a giovanni; da allora in poi viene annunziato il regno di dio e ognuno si sforza per entrarvi
"sheria na maandishi ya manabii vilikuweko mpaka wakati wa yohane mbatizaji. tangu hapo, ufalme wa mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
chi mi respinge e non accoglie le mie parole, ha chi lo condanna: la parola che ho annunziato lo condannerà nell'ultimo giorno
asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: neno lile nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
che cioè il cristo sarebbe morto, e che, primo tra i risorti da morte, avrebbe annunziato la luce al popolo e ai pagani»
yaani ilimpasa kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, wayahudi na pia watu wa mataifa mengine."
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
nei giorni in cui il settimo angelo farà udire la sua voce e suonerà la tromba, allora si compirà il mistero di dio come egli ha annunziato ai suoi servi, i profeti»
lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii."
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
pertanto ciò che avrete detto nelle tenebre, sarà udito in piena luce; e ciò che avrete detto all'orecchio nelle stanze più interne, sarà annunziato sui tetti
kwa hiyo, kila mliyosema gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong'ona faraghani milango imefungwa, yatatangazwa juu ya nyumba.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
dobbiamo confessare che grande è il mistero della pietà: fu giustificato nello spirito, apparve agli angeli, fu annunziato ai pagani, fu creduto nel mondo, fu assunto nella gloria
hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
dopo alcuni giorni paolo disse a barnaba: «ritorniamo a far visita ai fratelli in tutte le città nelle quali abbiamo annunziato la parola del signore, per vedere come stanno»
baada ya siku kadhaa, paulo alimwambia barnaba, "turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea."
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
allora paolo e barnaba con franchezza dichiararono: «era necessario che fosse annunziata a voi per primi la parola di dio, ma poiché la respingete e non vi giudicate degni della vita eterna, ecco noi ci rivolgiamo ai pagani
hata hivyo, paulo na barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "ilikuwa ni lazima neno la mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование