Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
mawazo ikiwa umma wa wananchi unathamini tafiti zinazofanywa na vyuo vikuu, yamewachokoza mwanazuoni césar viloria kutoa mwangaza kidogo kuhusu suala hili kwenye blogu yake.
a comment about whether the population values the researches carried out from the universities, triggers member of academic community césar viloria to shed a light about this on his blog.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
mwanazuoni wa kiislamu siti musdah mulia: "takwimu zinaonyesha kuwa wanawake hivi sasa wanathubutu kupigania haki zao na kupinga utawala wa wanaume.
muslim scholar siti musdah mulia: “the data shows women are now daring to fight for their rights and reject male domination.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
hadi wakati huu, takribani mwaka mmoja akiwa gerezani, zola anakabiliwa na mashitaka ya kutengenezwa yanayomhusisha na ugaidi ati kwa kuwa tu ni mwanazuoni halisi atumiaye unyenyekevu wake katika ukosoaji.
today, after over a year in prison, he is facing trumped-up terrorism charges for being a true intellectual, and one who uses humor to communicate his critiques.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
hata hivyo, wanamibia bado wanadai tamko rasmi ya kuomba radhi kutoka kwa serikali ya ujerumani kama tendai marima, mwanazuoni mtafiti wa fasihi za afrika , aliandika kwenye tovuti ya think africa press:
however, namibians still demand a formal apology from the german government as tendai marima, a post-doctoral researcher in african literature, wrote on the think africa press website :
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество: