Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
ninachojua tu ni kwamba roho mtakatifu ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
krom tio, ke la sankta spirito atestas al mi en cxiu urbo, dirante, ke katenoj kaj afliktoj min atendas.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
kaj cxu ne devis cxi tiu virino, estante filino de abraham, ligite de satano jen dek ok jarojn, esti malligita el cxi tiu kateno en la sabata tago?
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya sheria iliyoandikwa.
sed ni jam liberigxis el la legxo, mortinte rilate tion, en kio ni estis tenataj, por ke ni servu en noveco de spirito, kaj ne en malnoveco de litero.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
na kutoka kwa yesu kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu,
kaj de jesuo kristo, la fidela atestanto, la unuenaskita el la mortintoj, kaj la reganto de la regxoj de la tero. al tiu, kiu nin amas, kaj nin malligis de niaj pekoj per sia sango,
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
alisema hivyo kwa kuwa yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani.
cxar li ordonis al la malpura spirito eliri el la homo. cxar gxi ofte kaptis lin, kaj li estis sub gardantaro, kaj ligita per cxenoj kaj katenoj; kaj disrompinte la ligilojn, li estis peladata de la demono en la dezertojn.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество: