Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
because strait is the gate, and narrow is the way, which leadeth unto life, and few there be that find it.
lakini njia inayoongoza kwenye uzima ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo.
strive to enter in at the strait gate: for many, i say unto you, will seek to enter in, and shall not be able.
yesu akawaambia, "jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba; maana nawaambieni, wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
enter ye in at the strait gate: for wide is the gate, and broad is the way, that leadeth to destruction, and many there be which go in thereat:
"ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi.
and to the three who were left behind, until the earth became strait to them notwithstanding its spaciousness and their souls were also straitened to them; and they knew it for certain that there was no refuge from allah but in him; then he turned to them (mercifully) that they might turn (to him); surely allah is the oft-returning (to mercy), the merciful.
na pia wale watatu walio achwa nyuma hata dunia wakaiona dhiki juu ya ukunjufu wake, na nafsi zao zikabanika, na wakayakinika kuwa hapana pa kumkimbia mwenyezi mungu isipo kuwa kwake yeye. kisha akawaelekea kwa rehema yake ili nao waendelee kutubu.