Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
kwa mujibu wa anny, atuguba alidai kuwa,
according to anny, atuguba remarked that,
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
jamaa huyo alidai hatarudia tena kufanya kitendo kama hicho.
the guy claimed he will never again commit an act like this one.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
jamaa anayejiita george scalvini alidai kuwa na haki miliki ya video hiyo.
some george scalvini guy claimed intellectual ownership of the video.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
alidai kupigwa makofi, mateke, kutukanwa kwa maneno vibaya na nywele zake kuvutwa.
she claimed to have been slapped, kicked, verbally abused and had her hair pulled.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
kama huu ndio uzoefu ambao sata alidai kuwa nao ili kuendesha serikali basi anahitaji kuchunguzwa ubongo?
if this is the experience that sata claimed he had to run govt then he needs brain check?
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
michael smith alidai kuwa wafanyakazi wa benki na wahudumu madukani wanahofia matumizi mabaya yanayoweza kutokea ya vazi hilo.
michael smith argued that bank staff and shop assistants are concerned with possible criminal misuse.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
haitham makkawi alikuwa kwenye eneo la tukio na alidai kwamba wakaazi wa al-daim wamejaza eneo hilo:
haitham makkawi was on the ground and claimed that al-daim residents have taken over the scene:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
kila mtu niliyeonana naye katika vilabu vya wageni alidai kuwa mwandishi au msanii, lakini hungeweza kuona maandishi mengi au sanaa.
every second person at a given expat bar claimed to be a writer or artist, but you never saw much writing or art.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
gavana huyo wa zamani alidai anuani hizo za twita ni bandia zinazoendeshwa na kundi la watu wenye lengo la kusambaza uongo na upinzani dhidi yake na kampeni zake.
the former governor claimed the accounts were all fake profiles orchestrated by a specific group to disseminate lies and criticism about him and his campaign.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
mtumiaji mwingine wa mtandao alidai kwmaba tatizo sio marais wa afrika bali wagombea urais wa upinzani wanaogombea mara nyingi, kama ilivyo nchini zambia:
another netizen argued that the problem is not only with african presidents but also with "serial" opposition presidential candidates, like the ones in zambia:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
baada ya kupitishwa, museveni aliendelea kuwa na msimamo usioeleweka: alidai imekuwaje muswada upitishwe bila yeye kujulishwa, na kwa haraka kiasi kile, tena na idadi ndogo ya wabunge wakiongozwa na spika kadaga.
after its passing, museveni continued to pursue an ambiguous position: he claimed how the bill was passed without his consultation, and in a rushed manner, by a small number of mps led by speaker kadaga.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
afisa wa kutathmini na uandikishaji (muamuzi wa amani), keith bardwell, alidai kwamba katika uzoefu wake, “ndoa za rangi tofauti hazidumu kwa muda mrefu” na akasema alikuwa “akiamua hivyo kwa ajili ya watoto wa wanandoa hao”.
the justice of the peace, keith bardwell, claimed that in his experience, "interracial marriages do not last long" and stated that he was "doing it for the children."
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование