Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
kuadhimisha siku ya malala
celebrating malala day
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
@soumyasinghs: #pakistanyaadhimisha siku ya malala...
@soumyasinghs: #pakistan marks malala day..
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
wanachama wa vuguvugu la mqm likisherehekea siku ya malala.
mqm celebrating malala day.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
sababu kwa nini zawadi ya nobel itunukiwe kwa malala imeelezwa waziwazi:
the reason why a nobel prize must be presented to malala is stated here:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
maelfu watia saini pendekezo la zawadi ya nobel na kusherehekea siku ya malala
thousands celebrate malala day & sign nobel peace prize petition · global voices
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
neno ufunguo la #malala kwenye twita limesambazwa na zaidi ya watu elfu tano.
the #malala hashtag has been shared by more than five thousand people over twitter.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
kwa maoni yangu, malala ni kama mwale wa mwanga na matumaini kwa nchi ya pakistani.
in my view malala is the ray of light and hope for pakistan.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
umoja wa mataifa umetangaza kuisherehekea tarehe 10 novemba (jumamosi) kama siku ya malala.
the united nations has announced celebrating november 10 (saturday) as malala day.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
ali salman alvi alitoa maoni kwamba watetezi wa magaidi wamekuwa wakijaribu kupuuzia kitendo cha kishujaa cha malala:
ali salman alvi comments that the terrorist apologists are trying to belittle malala's act of valour:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
lakini katika mji anakotokea malala hakuna shughuli za nje ya nyumba zilizofanyika yote kwa sababu ya kuhofia uwezekano wa shambulizi la kigaidi.
but in malala's hometown open house events couldn't be organized out of fear of possible terrorist attacks.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
ili kuonyesha upendo wake kwa malala, msichana mwenye miaka 11, bushra siddique, anaandika kwenye blogu yake:
for to express her love for malala, 11 year-old girl, bushra siddique, writes on her blog:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
@sufisal: “kuielimisha akili bila kuuelimisha moyo ni kazi bure.” ― aristotle#malala day
@sufisal: “educating the mind without educating the heart is no education at all.” ― aristotle#malala day
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
kumetolewa pendekezo na mwanamke mmoja raia wa uingereza mwenye asili ya pakistani anayeishi katika jiji la birmingham, shaida choudry, kumpendekeza malala yousufzai kutunukiwa tuzo ya nobel.
a petition has been placed by a pakistani-british woman living in birmingham, shaida choudry, to nominate malala yousufzai for a nobel peace prize.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
vuguvugu la mqm (muttahida quami movement) lilisherehekea rasmi siku ya malala katika kituo chao cha kisiasa kinachoitwa nine-zero:
political party mqm (muttahida quami movement) officially celebrated malala day at their headquarters in karachi called nine-zero:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
kainat - rafiki yake malala waliyekuwa pamoja wakati shambulio lilipotokea — alisema — kwamba bado ana woga mwingi mno na hulia sana kila mara anapolikumbuka.
kainat - malala's friend who was with her during the attack- said that she's still terrified and cries whenever that incident comes in her mind.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
@alisalmanalvi: kwenye mitandao ya kijamii ilikuwa ni malala akipambana na al-qaeda na wapambe wao (watetezi wa kundi hilo la magaidi) katika siku ya malala. #pakistan
@alisalmanalvi: on social media it was malala vs al-qaeda & co (its apologists) on malala day. #pakistan
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование