Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
francois ndiaye katika niamey anaelezea kuhusu makubaliano ya fedha inayojumuisha wadau mbalimbali na itasimamiwa na kundi la uwekezaji la bolloré .
francois ndiaye in niamey unpacks the set up of the financial agreement that includes multiple stakeholders and will be overseen by the investment group bolloré .
hadi sasa, mradi huu umesaidia kuongeza na kuboresha ramani za madaoua, niamey, dosso, zinder, kolmane, na guidan toudo.
so far, the project has helped improve and enrich maps of madaoua, niamey, dosso, zinder, kolmane, and guidan toudo.
mradi huu unaendeshwa kwa ushirikiano na idara ya jiografia ya chuo kikuu cha abdou moumouni kilichopo niamey, wanafunzi wake, open street map, pamoja na rising voices.
this project is being run collectively by the geography department of the abdou moumouni university in niamey, its students, open street map, and rising voices.
mradi wa reli wa urefu wa kilometa 1,500 kati ya niamey, mji mkuu wa niger na cotonou, mji mkuu wa benin umepitishwa na mamlaka ya nchi hizo mbili na ujenzi utaanza machi 2014 .
a 1,500 km-long railway project between niamey, the capital city of niger and cotonou, the capital city of benin has been green lighted by the authorities of the two countries and construction will begin on march 2014 .
alhamisi februari 18 mapinduzi ya kijeshi yalifanyika nchini niger ambayo kwayo rais mamadou tandja alikamatwa baada ya mapambano ya bunduki katika mji mkuu, niamey, yaliyoongozwa na kanali abdoulaye adamou harouna (amabaye alikuwa mpambe wa aliyekuwa kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi yaliyopita meja daouda mallam wanke).
on thursday, february 18th a coup took place in niger in which president mamadou tandja was captured after a gun battle in the capital, niamey, led by led by col. abdoulaye adamou harouna (who was was the former aide-de-camp of niger's previous coup leader maj. daouda mallam wanke).