Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
hata watakapo ufikia moto yatawashuhudia masikio yao, na macho yao na ngozi zao kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
quando vi giungeranno, il loro udito, i loro occhi e le loro pelli renderanno testimonianza contro di loro, per quello che avranno fatto.
mwenyezi mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. basi watapata adhabu kubwa.
allah ha posto un sigillo sui loro cuori e sulle loro orecchie e sui loro occhi c'è un velo; avranno un castigo immenso.
hapo, watu wote katika kile kikao cha baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. kisha wakamrukia wote kwa pamoja,
proruppero allora in grida altissime turandosi gli orecchi; poi si scagliarono tutti insieme contro di lui
na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba mwenyezi mungu.
li condurrò alla perdizione, li illuderò con vane speranze, darò loro ordini ed essi taglieranno gli orecchi degli armenti; io darò gli ordini e loro snatureranno la creazione di allah”.
"enyi wakaidi wakuu! mioyo na masikio yenu ni kama ya watu wa mataifa. ninyi ni kama baba zenu. siku zote mnampinga roho mtakatifu.
o gente testarda e pagana nel cuore e nelle orecchie, voi sempre opponete resistenza allo spirito santo; come i vostri padri, così anche voi
na hakika mimi kila nilipo waita ili upate kuwaghufiria, walijiziba masikio yao kwa vidole vyao, na wakajigubika nguo zao, na wakakamia, na wakatakabari vikubwa mno!
ogni volta che li chiamavo affinché tu li perdonassi, si turavano le orecchie con le dita e si avvolgevano nelle loro vesti, pervicaci e tronfi di superbia.
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao."
come sta scritto: occhi per non vedere e orecchi per non sentire, fino al giorno d'oggi