Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni galilaya."
tamen, post mia relevigxo mi iros antaux vi en galileon.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
lakini kuhusu suala la wafu kufufuka, hamjasoma yale aliyowaambieni mungu?
sed pri la relevigxo el la mortintoj, cxu vi ne legis tion, kio estis dirita al vi de dio, nome:
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
hii ilikuwa mara ya tatu yesu kuwatokea wanafunzi wake baada ya kufufuka kutoka wafu.
tiu estas jam la tria fojo, kiam aperis jesuo al siaj discxiploj, post sia relevigxo el la mortintoj.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka wafu.
kaj ili konservis la diron, demandante inter si, kion signifas la relevigxo el la mortintoj.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na mtu mmoja, vivyo hivyo nako kufufuka kutoka wafu kumesababishwa na mtu mmoja.
cxar tial, ke per homo venis la morto, per homo ankaux venis la relevigxo de la mortintoj.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika mji mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
kaj elirinte el la tomboj post lia relevigxo, ili eniris en la sanktan urbon kaj aperis al multaj.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
si kwa watu wote ila kwa wale mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi wake, yaani sisi tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka wafu.
ne al la tuta popolo, sed al atestantoj, kiuj estis elektitaj antauxe de dio, al ni, kiuj mangxis kaj trinkis kun li post lia relevigxo el la mortintoj.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
mwishowe, yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.
poste li aperis al la dek unu, dum ili sidis cxe mangxo, kaj riprocxis ilian nekredemon kaj korobstinon, cxar ili ne kredis tiujn, kiuj vidis lin levigxintan.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
yaani ilimpasa kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, wayahudi na pia watu wa mataifa mengine."
ke la kristo devas suferi, kaj ke li unua per la revivigado de mortintoj proklamos lumon al la popolo kaj al la nacianoj.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
walipomsikia paulo anasema juu ya jambo la kufufuka kwa wafu, wengine wao waliangua kicheko; lakini wengine walisema, "tunataka kukusikia tena juu ya jambo hili!"
kaj auxdinte pri relevigxo de la mortintoj, unuj mokis; sed aliaj diris:ni auxskultos vin denove pri tio.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata mose alithibitisha jambo hilo katika maandiko matakatifu. katika sehemu ya maandiko matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja bwana kama mungu wa abrahamu, isaka na yakobo.
sed ke la mortintoj levigxas, moseo mem montris en la arbetajxo, kiam li nomis la eternulon la dio de abraham kaj la dio de isaak kaj la dio de jakob.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество: