Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
and as he spake, a certain pharisee besought him to dine with him: and he went in, and sat down to meat.
yesu alipokuwa akiongea, mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.
and one of the pharisees desired him that he would eat with him. and he went into the pharisee's house, and sat down to meat.
mfarisayo mmoja alimwalika yesu kula chakula nyumbani kwake. akaingia nyumbani mwa huyo mfarisayo, akakaa kula chakula.
and, behold, a woman in the city, which was a sinner, when she knew that jesus sat at meat in the pharisee's house, brought an alabaster box of ointment,
basi, katika mji ule kulikuwa na mama mmoja aliyekuwa anaishi maisha mabaya. alipopata habari kwamba yesu yuko nyumbani kwa huyo mfarisayo, alichukua chupa ya alabasta yenye marashi.
then stood there up one in the council, a pharisee, named gamaliel, a doctor of the law, had in reputation among all the people, and commanded to put the apostles forth a little space;
lakini mfarisayo mmoja aitwaye gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
but when paul perceived that the one part were sadducees, and the other pharisees, he cried out in the council, men and brethren, i am a pharisee, the son of a pharisee: of the hope and resurrection of the dead i am called in question.
wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."