Att försöka lära sig översätta från mänskliga översättningsexempel.
Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
ora, uno solo è legislatore e giudice, colui che può salvare e rovinare; ma chi sei tu che ti fai giudice del tuo prossimo
mungu peke yake ndiye mwenye kuweka sheria na kuhukumu. ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?
Senast uppdaterad: 2012-05-06
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
ora se per il tuo cibo il tuo fratello resta turbato, tu non ti comporti più secondo carità. guardati perciò dal rovinare con il tuo cibo uno per il quale cristo è morto
kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye kristo alikufa kwa ajili yake!
Senast uppdaterad: 2012-05-06
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
perciò non giudichiamoci più gli uni gli altri, ma sia piuttosto questa la vostra decisione, di non mettere davanti al fratello pietra d’inciampo o causa per incespicare. io so e sono persuaso nel signore gesù che nulla in se stesso è contaminato; solo se un uomo considera qualcosa contaminato, per lui è contaminato. poiché se a causa del cibo il tuo fratello è addolorato, tu non cammini più secondo l’amore. non rovinare per il tuo cibo uno per il quale cristo morì. non lasciate dunque che del bene che fate si parli a vostra ingiuria. poiché il regno di dio non significa mangiare e bere, ma significa giustizia e pace e gioia con spirito santo. poiché chi a questo riguardo è schiavo di cristo è accettevole a dio e ha l’approvazione degli uomini.
kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi wenu, kutokuweka mbele ya ndugu kikwazo au sababu ya kujikwaa. najua nami nasadikishwa katika bwana yesu kwamba hakuna kitu ambacho ndani yake chenyewe ni najisi; ni pale tu ambapo mtu anakiona kitu kuwa najisi, kwake yeye hicho huwa najisi. kwa maana ikiwa ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya chakula, wewe hutembei tena kupatana na upendo. kwa chakula chako usimwangamize yule ambaye kristo alikufa kwa ajili yake. kwa hiyo, msiache msemwe vibaya kwa mema mnayofanya. kwa maana ufalme wa mungu haumaanishi kula na kunywa, bali unamaanisha uadilifu na amani na shangwe pamoja na roho takatifu. kwa maana yeye ambaye kwa habari hii anamtumikia kristo anakubalika kwa mungu naye ana kibali cha wanadamu.