Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
i vidjeh novo nebo i novu zemlju jer - prvo nebo i prva zemlja uminu; ni mora vie nema.
kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya. mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena.
a sadanja nebesa i zemlja istom su rijeèju pohranjena za oganj i èuvaju se za dan suda i propasti bezbonih ljudi.
lakini mbingu na nchi za sasa zahifadhiwa kwa neno la mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto. zimewekwa kwa ajili ya siku ile ambapo watu wasiomcha mungu watahukumiwa na kuangamizwa.
bijae veæ èetrnaesta noæ to smo bili tamo-amo gonjani po jadranu kad oko ponoæi naslutie mornari da im se primièe neka zemlja.
usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya adria. karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
grnula k njemu sva judejska zemlja i svi jeruzalemci: primali su od njega krtenje u rijeci jordanu ispovijedajuæi svoje grijehe.
watu kutoka sehemu zote za yudea na wenyeji wote wa yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto yordani.
i vidjeh veliko bijelo prijestolje i onoga to sjede na nj: pred licem njegovim pobjee zemlja i nebo; ni mjesta im se vie ne naðe.
kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.
nebesa su moje prijestolje, a zemlja podnoje nogama. kakav dom da mi sagradite, govori gospodin, i gdje da bude mjesto mog poèinka?
bwana asema: mbingu ni kiti changu cha enzi na dunia ni kiti changu cha kuwekea miguu.
a bio je u estoku sukobu s tircima i sidoncima. oni zajednièki doðoe k njemu i poto pridobie kraljevskoga komornika blasta, zaiskae mir, jer je njihova zemlja dobivala ive od kraljeve.
herode alikasirishwa sana na watu wa tiro na sidoni. lakini wao walimpelekea wajumbe. nao wakafaulu kwanza kumpata blasto awe upande wao. blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu ya mfalme. kisha, wakamwendea herode wakamwomba kuwe na amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula.