Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
quo audito herodes ait quem ego decollavi iohannem hic a mortuis resurrexi
lakini herode alipopata habari hizi alisema, "huyu ni yohane! nilimkata kichwa, lakini amefufuka."
audivit autem herodes tetrarcha omnia quae fiebant ab eo et haesitabat eo quod diceretu
sasa, mtawala herode, alipata habari za mambo yote yaliyokuwa yanatendeka, akawa na wasiwasi kwa vile walikuwa wakisema: "yohane amefufuka kutoka wafu!"
in ipsa die accesserunt quidam pharisaeorum dicentes illi exi et vade hinc quia herodes vult te occider
wakati huohuo, mafarisayo na watu wengine walimwendea yesu wakamwambia, "ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana herode anataka kukuua."
et ait herodes iohannem ego decollavi quis autem est iste de quo audio ego talia et quaerebat videre eu
lakini herode akasema, "huyo yohane nilimkata kichwa; sasa ni nani huyu ninayesikia habari zake?" akawa na hamu ya kumwona.
herodes autem tetrarcha cum corriperetur ab illo de herodiade uxore fratris sui et de omnibus malis quae fecit herode
lakini yohane alimgombeza herode, mkuu wa mkoa, kwa sababu alikuwa amemchukua herodia, mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya.
convenerunt enim vere in civitate ista adversus sanctum puerum tuum iesum quem unxisti herodes et pontius pilatus cum gentibus et populis israhe
"maana, kwa hakika, ndivyo herode, pontio pilato, watu wa israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga yesu mtumishi wako mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
cum autem producturus eum esset herodes in ipsa nocte erat petrus dormiens inter duos milites vinctus catenis duabus et custodes ante ostium custodiebant carcere
usiku, kabla ya siku ile ambayo herode angemtoa petro hadharani, petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
herodes autem viso iesu gavisus est valde erat enim cupiens ex multo tempore videre eum eo quod audiret multa de illo et sperabat signum aliquod videre ab eo fier
herode alifurahi sana alipomwona yesu. alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona yesu akitenda mwujiza.
qui cum recessissent ecce angelus domini apparuit in somnis ioseph dicens surge et accipe puerum et matrem eius et fuge in aegyptum et esto ibi usque dum dicam tibi futurum est enim ut herodes quaerat puerum ad perdendum eu
baada ya wale wageni kuondoka, malaika wa bwana alimtokea yosefu katika ndoto, akamwambia, "amka! mchukue mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie misri. kaeni huko mpaka nitakapokwambia, maana herode anakusudia kumwua huyu mtoto."