Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
ardhini
Senast uppdaterad: 2021-01-28
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
Referens:
gaza usiku huu inakabiliana na uvaizi wa ardhini unaofanywa na israeli!
now: it's raining fire on #gaza tonight with an israeli ground invasion on the wayyy! #prayforgaza pic.twitter.com/qmotbduz96 — jehan alfarra (@palinoia) july 17, 2014
israeli imeanza uvamizi wa ardhini na kuugeuza ukanda wote wa gaza kuwa mithili ya mpira wa moto
israel starts a land invasion and turns the whole gaza strip into a ball of fire... #gazaunderattack pic.twitter.com/pnyfbdtcra — gaza writes back (@thisisgaza) july 17, 2014
tafadhali rais sata badilisha noti sasa ili (waliofukua fedha ardhini) wakose pa kuyapeleka hayo mabilioni ya kwacha bandia.
please president sata change the currency now so that they can get stuck with their billlions of fake kwacha.
ndivyo ilivyo kuhusu ufufuo wa wafu. kama vile mbegu, mwili huzikwa ardhini ukiwa katika hali ya kuharibika, lakini hufufuliwa katika hali ya kutoharibika.
so also is the resurrection of the dead. it is sown in corruption; it is raised in incorruption:
ukweli wa jinsi sehemu hii ilivyogeuka na kuwa ya kiwendawazimu unakupiga usoni sekunde ile unapotua kwenye kiwanja cha ndege cha kimataifa na kuona wafanyakazi wa ardhini wamevaa vitambaa vya kitabibu kufunika pua, kuanzia wahudumu mpaka maofisa wa uhamiaji.
reality of how mad this place has become smacks you in the face the second you land at the bahrain international airport and see all the ground staff wearing surgical masks, from the ground handling staff to the immigration and customs officers.
hata mwezi umekuwa mwekundu hapa gaza usiku wa leo mpiga picha jehad saftawi anatuma picha kutoka kwenye mpaka wa gaza, ikionyesha kuanza kwa operesheni hiyo: shambulio la ardhini linalofanywa na israeli limeanza kwenye ukanda wa gaza, hapa kwenye mpaka wa gaza
even the moon is red in gaza tonight... #gazaunderattack pic.twitter.com/etgqgkyytx — فلسطين i (@ifalasteen) july 17, 2014
ingawa athari ya mabadiliko ya hali ya hewa katika ueneaji jangwa bado haijaeleweka vema, yaani kwa mujibu wa greenfacts, inafahamika kwamba viwango vya juu vya joto vinavyotokana na kuongezeka kwa viwango vya dioksidii ya kaboni kunaweza kuwa na athari mbaya kutokana na kuongezeka kwa upotevu wa maji kutoka ardhini na kupungua kwa viwango vya mvua katika maeneo yenye ukame.
although the influence of climate change on desertification has not been fully understood yet, according to greenfacts, it is known that higher temperatures resulting from increased carbon dioxide levels can have a negative impact through increased loss of water from soil and reduced rainfall in drylands.
hivi sasa, watu wanamlaani liato kwa zile bilioni 2.1 (zilizokuwa zimefukiwa ardhini) na liato alikuwa waziri kwa muda mrefu. mulenga ambaye baba yake hata hajamaliza siku tisini tangu aingie ikulu ametumia mpaka sasa k bilioni 1.8.
right now,people are demonising liato over k2.1 billion and liato has been a minister for a long time.mulenga,whose father has not even clocked 90 days in office has so far spent k 1.8 billion.