Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
kujitoa mhanga
dedication
Senast uppdaterad: 2024-03-17
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
baadhi ya waandamanaji walishinikiza kunyongwa kwa sajda rishawi, ambaye alikamatwa mara baada ya kushindwa kujitoa mhanga pale bomu alilokuwa amelivaa kushishindwa kulipuka.
some protesters also called for the execution of sajda rishawi, a failed suicide bomber behind bars in jordan.
watu watatu wameuawa kwenye shambulio hilo la kujitoa mhanga, na walayat najd, tawi la isis nchini saudi arabia, limedai kuhusika, na watu kumi wamejeruhiwa.
three people were killed in the suicide bombing, which the isis saudi branch walayat najd, has claimed responsibility for, and some 10 people have been injured.
huku ni kujitoa mwenyezi mungu na mtume wake kwenye jukumu la maagano na mlio ahidiana nao katika washirikina.
(this is a declaration of) immunity by allah and his apostle towards those of the idolaters with whom you made an agreement.
wabudha wa myanmar wajitoe mhanga kwa kiasi gani ili hali wanayokabiliana nayo ifahamike na kuchukuliwa hatua stahiki?
how many lives must the burmese buddhists sacrifice further to put the (situation) on pages and screens?
"ipo haja ya kujitoa katika mashindano yote ya soka ya kimataifa ili tuweze kurekebisha mambo."
"there is need to withdraw from all international football competition so that we can put our house in order."
@johnlyndon1: kujitoa mhanga kwa kujiunguza kwa moto katika mji wa gaza; kujichoma kwa moto kwa fayyad huko hebron; maandamano katika majiji muhimu huko ukanda wa magharibi.
@johnlyndon1: self immolation in gaza; fayyad effigy burning in hebron; protests in major west bank cities.
hiki nikichwa cha makala kilichoandikwa na mwandishi nicholas kristof kuhusu mtoto wa miaka 9 ambaye alikuwa mhanga wa kubakwa na kundi la watu nchini kongo drc.
this is the title of an article by journalist nicholas kristof about a 9 year-old child that was the victim of gang rape in the drc.
boko haram imepoteza zaidi ya wnaamgambo 100 kwenye mapigano hayo lakini mtu aliyejitolea mhanga alijilipua mjini masaa machache baadae, na kuua watu wasiopungua watano.
boko haram lost an estimated 100 combatants in the clash but a suicide bomber detonated explosives in the city a few hours later, killing 5 civilians.
... mara tu nilipowekwa chini ya ulinzi nyumbani kwangu na vyombo vya usalama, niliteswa, nilipigwa na kutishiwa kifo...mimi ni mhanga wa unyanyasaji wa utawala huu wa kiislamu.
... as soon as i was arrested in my apartment by security forces, i was tortured, beaten and threatened to be executed... i am one of the victims of the islamic regime's repression.
lakini hata kama maisha ya mtu mmoja tu yatabadilika katika mchakato huo, hilo litakuwa ni fanikio kwangu kama mtangazaji mhanga wa kipindi cha “na tuzungumze kuhusu ngono.”
but even if one person’s life is changed in the process, that would a phenomenal success for me as a pioneer host on the ltas show.
mhanga huyo rowena uychiat inadaiwa alilazimishwa kufanya kazi masaa 21 kwa siku (6:00 mpaka 03:00) bila kupewa siku ya mapumziko.
the victim rowena uychiat was allegedly forced to work 21 hours a day (6am till 3am) without a day off.
makala inamtaja mwanaume wa limpopo, ambaye hukumu yake ilipunguzwa kutoka kifungo cha maisha kuwa mwaka mmoja kwa kumbaa bintiye wa kambo mwenye umri wa miaka 15; kwa kufanya hivyo, jarida hilo likishindwa kulinda utambulisho wa wa mhanga wa ubakaji.
the article names a limpopo man, whose sentence was reduced from life imprisonment to 1- years for raping his 15-year-old stepdaughter; in so doing, failing to protect the identity of the rape victim.