Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
siku hizo, yesu alifika kutoka nazareti, mji wa galilaya, akabatizwa na yohane katika mto yordani.
and it came to pass in those days, that jesus came from nazareth of galilee, and was baptized of john in jordan.
hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na sheria ya bwana, walirudi makwao nazareti, mkoani galilaya.
and when they had performed all things according to the law of the lord, they returned into galilee, to their own city nazareth.
watu katika ule umati wakasema, "huyu ni nabii yesu, kutoka nazareti katika mkoa wa galilaya."
and the multitude said, this is jesus the prophet of nazareth of galilee.
kwa maana tulikwisha msikia akisema eti huyo yesu wa nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali desturi zile tulizopokea kutoka kwa mose."
for we have heard him say, that this jesus of nazareth shall destroy this place, and shall change the customs which moses delivered us.
aliondoka nazareti, akaenda kafarnaumu, mji ulio kando ya bahari ya genesareti, mpakani mwa wilaya za zabuloni na naftali, akakaa huko.
and leaving nazareth, he came and dwelt in capernaum, which is upon the sea coast, in the borders of zabulon and nephthalim:
akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."
and he came and dwelt in a city called nazareth: that it might be fulfilled which was spoken by the prophets, he shall be called a nazarene.
lakini huyo kijana akawaambia, "msishangae. mnamtafuta yesu wa nazareti aliyesulubiwa. amefufuka, hayumo hapa. tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
and he saith unto them, be not affrighted: ye seek jesus of nazareth, which was crucified: he is risen; he is not here: behold the place where they laid him.
naye nathanieli akamwuliza filipo, "je, kitu chema chaweza kutoka nazareti?" filipo akamwambia, "njoo uone."
and nathanael said unto him, can there any good thing come out of nazareth? philip saith unto him, come and see.
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
and he came to nazareth, where he had been brought up: and, as his custom was, he went into the synagogue on the sabbath day, and stood up for to read.
basi, ninyi na watu wote wa israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake yesu wa nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini mungu akamfufua kutoka wafu.
be it known unto you all, and to all the people of israel, that by the name of jesus christ of nazareth, whom ye crucified, whom god raised from the dead, even by him doth this man stand here before you whole.
naye akawajibu, "mambo gani?" wao wakamjibu, "mambo yaliyompata yesu wa nazareti. yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya mungu na mbele ya watu wote.
and he said unto them, what things? and they said unto him, concerning jesus of nazareth, which was a prophet mighty in deed and word before god and all the people: