Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
tangazo la leo kuwa rais wa poland na mke wake, waliofariki katika ajali mbaya ya ndege huko smolensk jumamosi iliyopita, watazikwa siku ya jumapili saa 8 mchana katika kasri la wawel huko krakow limezua utata mkubwa.
today's announcement that the polish presidential couple killed in the tragic aircraft accident over smolensk last saturday would be buried on sunday at 2pm in krakow's wawel castle raised a lot of controversy.
pamekuwepo na aina mpya ya utalii unaoitwa "utalii wa kutoa mimba" kutoka katika nchi jirani ambapo sheria za kuzuia utoaji mimba zimekuwa kali zaidi sana, kama vile poland, na zimeandikwa.
“abortion tourism” from the neighboring countries where the laws are more restrictive, such as poland, has also been documented.
jambo la kushangaza ni nchi zenye asilimia kubwa ya waathirika wa unyanyasaji dhidi ya wanawake ni zile za eneo la kaskazini mwa ulaya: denmark (52%), finland (47%) na sweden (46%), wakati hungary (21%), austria (20%) na poland (19%) wana viwango vya chini sana.
surprisingly the countries with the highest percentage of victims of violence against women are in northern europe: denmark (52%), finland (47%) and sweden (46%), while hungary (21%), austria (20%) and poland (19%) have much lower rates.