Att försöka lära sig översätta från mänskliga översättningsexempel.
Från: Maskinöversättning
Föreslå en bättre översättning
Kvalitet:
Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
watu wabaya, wanaofanya vitu kinyume na wamarekani mwisho wa siku ndiyo wenye kuhusika na msiba huo, na kuna mwisho wake.
bad people doing un-american things were ultimately responsible for the tragedy, and there’s an end to it.
#dershowitz, ni bora niishi kwenye nchi yangu yenye kila namna ya tofauti na changamoto kuliko hulka yenu wamarekani kujiona bora
#dershowitz, i'll rather have my sa with all its diversity and challenges than your american superiority complex. http://t.co/wd4pogxwz7 — jacobus j. retief (@koosretief) march 5, 2014
kama sehemu ya kumbukumbu hii, blogu inayoitwa raia wa mexico nchini uswisi wapenda amani ilieneza barua ifuatayo ili kutafuta uungwaji mkono:
as part of this anniversary, the blog mexicans in switzerland for peace spread the following letter of support:
hongereni wapendwa wamarekani katika uchaguzi na kwa raisi mpya. haijalishi matokeo yalivyokuja mna matumaini nasi tunatumaini raisi mpya ataleta mustakabali wenye mwangaza kwa marekani na kwa iraki.
congratulations dear americans on the elections and the new us president. no matter how the results came out, you hope and we hope that the new president will bring a brighter future to the usa and iraq.
wewe wapenda uadilifu na kuchukia uovu. ndiyo maana mungu, mungu wako amekuweka wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako."
thou hast loved righteousness, and hated iniquity; therefore god, even thy god, hath anointed thee with the oil of gladness above thy fellows.
@beewol: mungu azirehemu roho za wapenda kandanda waliopoteza maisha mahali miaka miwili iliyopita na ziweke mahali pema peponi #twakumbuka julai 11
@beewol: r.i.p sports lovers who perished this day 2 years ago #werememberjuly11
blogu ya roads to iraq, katikaujumbe wenye kichwa cha habari "wamarekani walipanga mapinduzi nchini mauritania," inaripoti habari hiyo vile vile:
roads to iraq, in a post entitled "american orchestrated coup in mauritania," reports the news as well:
atakaye iacha miongoni mwenu dini yake, basi mwenyezi mungu atakuja leta watu anao wapenda nao wanampenda, wanyenyekevu kwa waumini na wenye nguvu juu ya makafiri, wanapigania jihadi katika njia ya mwenyezi mungu, wala hawaogopi lawama ya anaye laumu.
if any of you should ever turn away from your faith, remember that allah will raise up a people whom he loves, and who love him; a people humble towards the believers, and firm towards the unbelievers; who will strive hard in the way of allah and will not fear the reproach of the reproacher.
atakaye iacha miongoni mwenu dini yake, basi mwenyezi mungu atakuja leta watu anao wapenda nao wanampenda, wanyenyekevu kwa waumini na wenye nguvu juu ya makafiri, wanapigania jihadi katika njia ya mwenyezi mungu, wala hawaogopi lawama ya anaye laumu. hiyo ndiyo fadhila ya mwenyezi mungu, humpa amtakaye.
o you who believe! whoever from among you turns back from his religion, then allah will bring a people, he shall love them and they shall love him, lowly before the believers, mighty against the unbelievers, they shall strive hard in allah's way and shall not fear the censure of any censurer; this is allah's face, he gives it to whom he pleases, and allah is ample-giving, knowing.