Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
meli ilitia nanga kaisarea, naye paulo akaenda yerusalemu kulisalimia lile kanisa, kisha akaenda antiokia.
ja kui ta kaisareas oli maabunud, läks ta üles jeruusalemma, tervitas kogudust ja läks siis alla antiookiasse.
baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua.
nii nad saadeti teele ja nad saabusid antiookiasse. seal nad kogusid rahvahulga kokku ja andsid kirja neile kätte.
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
aga paulus ja barnabas viibisid antiookias ning õpetasid ja kuulutasid ühes paljude teistega issanda armuõpetuse sõna.
kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
sealt nad purjetasid antiookiasse, kust nad olid väljunud jumala armu hooleks antuina sellele tööle, mille nad olid lõpetanud.
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
aga nende hulgas olid mõned küprose ja küreene mehed; need läksid antiookiasse ning rääkisid ka kreeklastele, jutlustades issandat jeesust.
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
aga need, kes olid hajutatud viletsuse läbi, mis oli tekkinud stefanose pärast, käisid maad läbi foiniikiani ja küprose saareni ja antiookiani ega kuulutanud sõna kellelegi muule kui ainult juutidele.
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
aga ikoonionis sündis, et nad üheskoos läksid juutide kogudusekotta ja kõnelesid nõnda, et niihästi suur hulk juute kui kreeklasi sai usklikuks.
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
kui sellest tõusis lahkmeel ja paulusel ja barnabasel ei olnud nendega mitte pisut vaidlemist, siis tehti otsuseks, et paulus ja barnabas ning mõned muud nende seast lähevad jeruusalemma apostlite ja vanemate juurde selle tüliküsimuse pärast.
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
nendega nad saatsid järgmise kirja: „meie, apostlid ja vanemad ja vennad, saadame tervisi vendadele paganate seast, kes elavad antiookia- ja süüria- ja kiliikiamaal.
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
siis apostlid ja vanemad ühes kõige kogudusega arvasid heaks valida endi seast mehed ning läkitada antiookiasse ühes pauluse ja barnabasega, nimelt juuda, lisanimega barsabas, ja siilase, kes olid juhatajad vendade seas.
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
ja nemad käisid terve aasta koos koguduses ja õpetasid suure hulga rahvast. ja antiookias hakati kõige enne nimetama jüngreid kristlasteks.
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
see kõne oli kogu rahvahulga meelt mööda. ja nad valisid stefanose, mehe täis usku ja püha vaimu, ja filippuse ja prokorose ja nikaanori ja timoni ja parmena ja nikolaose, juudiusku pöördunud antiohlase.