Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la yuda ambalo mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
e' noto infatti che il signore nostro è germogliato da giuda e di questa tribù mosè non disse nulla riguardo al sacerdozio
katika waliofungwa ni pamoja waandishi wawili wa sweden wanaotumikia kifungo cha miaka 11 kwa kudaiwa kukisaidia kikundi cha waasi wa kabila cha kisomali.
tra gli imprigionati ci sono anche due giornalisti svedesi che stanno scontando una condanna a 11 anni per presunto supporto ad un gruppo ribelle di etnia somala.
hapo wakapendelea kuwa na mfalme, na mungu akawapa saulo, mtoto wa kishi wa kabila la benyamini, awe mfalme wao kwa muda wa miaka arobaini.
allora essi chiesero un re e dio diede loro saul, figlio di cis, della tribù di beniamino, per quaranta anni
kabila la simeoni, kumi na mbili elfu, kabila la lawi, kumi na mbili elfu, kabila la isakari, kumi na mbili elfu;
dalla tribù di simeone dodicimila; dalla tribù di levi dodicimila; dalla tribù di issacar dodicimila
kabila la zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la benyamini, kumi na mbili elfu.
dalla tribù di zàbulon dodicimila; dalla tribù di giuseppe dodicimila; dalla tribù di beniamino dodicimila
lakini mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "siku zinakuja, asema bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa israeli na kabila la yuda.
dio infatti, biasimando il suo popolo, dice: quando io stipulerò con la casa d'israele e con la casa di giuda un'alleanza nuova
basi, nauliza: je, mungu amewakataa watu wake? hata kidogo! mini binafsi ni mwisraeli mzawa wa abrahamu, wa kabila la benyamini.
io domando dunque: dio avrebbe forse ripudiato il suo popolo? impossibile! anch'io infatti sono israelita, della discendenza di abramo, della tribù di beniamino
basi, nauliza, je, mungu aliwakataa watu wake? hilo lisitendeke kamwe! kwa maana mimi pia ni mwisraeli, wa uzao wa abrahamu, wa kabila la benyamini. mungu hakuwakataa watu wake, aliowatambua kwanza. je, hamjui linavyosema andiko kumhusu eliya, anapomwomba mungu dhidi ya israeli? “yehova, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami peke yangu nimebaki, nao wanaitafuta nafsi yangu.” lakini, neno la mungu linamwambia nini? “nimebakiza watu elfu saba kwa ajili yangu mwenyewe, watu ambao hawakumpigia baali goti.” basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki kulingana na kuchaguliwa ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa. basi ikiwa ni kwa fadhili zisizostahiliwa, si kwa sababu ya matendo tena; kama sivyo, fadhili zisizostahiliwa haziwi tena fadhili zisizostahiliwa.
quindi chiedo: dio non ha rigettato il suo popolo, vi pare? non sia mai! poiché anch’io sono israelita, del seme d’abraamo, della tribù di beniamino. dio non ha rigettato il suo popolo, che prima riconobbe. infatti, non sapete ciò che la scrittura dice riguardo a elia, quando egli supplica dio contro israele? “geova, hanno ucciso i tuoi profeti, hanno abbattuto i tuoi altari, e io solo sono rimasto, e cercano la mia anima”. ma che gli dice la dichiarazione divina? “ho lasciato rimanere per me settemila uomini, che non hanno piegato il ginocchio a baal”. in questo modo, perciò, anche al tempo presente si è trovato un rimanente secondo l’elezione dovuta all’immeritata benignità. ora se è per immeritata benignità, non è più dovuto alle opere; altrimenti, l’immeritata benignità non è più immeritata benignità.
Senast uppdaterad: 2013-03-07
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
Referens: