Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
kwa maana tulikwisha msikia akisema eti huyo yesu wa nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali desturi zile tulizopokea kutoka kwa mose."
audivimus enim eum dicentem quoniam iesus nazarenus hic destruet locum istum et mutabit traditiones quas tradidit nobis mose
aliondoka nazareti, akaenda kafarnaumu, mji ulio kando ya bahari ya genesareti, mpakani mwa wilaya za zabuloni na naftali, akakaa huko.
et relicta civitate nazareth venit et habitavit in capharnaum maritimam in finibus zabulon et nepthali
akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."
et veniens habitavit in civitate quae vocatur nazareth ut adimpleretur quod dictum est per prophetas quoniam nazareus vocabitu
lakini huyo kijana akawaambia, "msishangae. mnamtafuta yesu wa nazareti aliyesulubiwa. amefufuka, hayumo hapa. tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
qui dicit illis nolite expavescere iesum quaeritis nazarenum crucifixum surrexit non est hic ecce locus ubi posuerunt eu
naye nathanieli akamwuliza filipo, "je, kitu chema chaweza kutoka nazareti?" filipo akamwambia, "njoo uone."
et dixit ei nathanahel a nazareth potest aliquid boni esse dicit ei philippus veni et vid
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
et venit nazareth ubi erat nutritus et intravit secundum consuetudinem suam die sabbati in synagogam et surrexit leger
basi, ninyi na watu wote wa israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake yesu wa nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini mungu akamfufua kutoka wafu.
notum sit omnibus vobis et omni plebi israhel quia in nomine iesu christi nazareni quem vos crucifixistis quem deus suscitavit a mortuis in hoc iste adstat coram vobis sanu
naye akawajibu, "mambo gani?" wao wakamjibu, "mambo yaliyompata yesu wa nazareti. yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya mungu na mbele ya watu wote.
quibus ille dixit quae et dixerunt de iesu nazareno qui fuit vir propheta potens in opere et sermone coram deo et omni popul