Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
et cum consummati fuerint mille anni solvetur satanas de carcere suo et exibit et seducet gentes quae sunt super quattuor angulos terrae gog et magog et congregabit eos in proelium quorum numerus est sicut harena mari
akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na shetani. alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
et erat in deserto quadraginta diebus et quadraginta noctibus et temptabatur a satana eratque cum bestiis et angeli ministrabant ill
watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. hawa hulisikia hilo neno lakini mara shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.
hii autem sunt qui circa viam ubi seminatur verbum et cum audierint confestim venit satanas et aufert verbum quod seminatum est in corda eoru
kama shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa beelzebuli?
si autem et satanas in se ipsum divisus est quomodo stabit regnum ipsius quia dicitis in beelzebub eicere me daemoni
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
hanc autem filiam abrahae quam alligavit satanas ecce decem et octo annis non oportuit solvi a vinculo isto die sabbat
hapo, yesu akamwambia, "nenda zako shetani! imeandikwa: utamwabudu bwana mungu wako na kumtumikia yeye peke yake."
tunc dicit ei iesus vade satanas scriptum est dominum deum tuum adorabis et illi soli servie
msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. kisha rudianeni tena mara, ili shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.
nolite fraudare invicem nisi forte ex consensu ad tempus ut vacetis orationi et iterum revertimini in id ipsum ne temptet vos satanas propter incontinentiam vestra
lakini yesu akageuka, akamwambia petro, "ondoka mbele yangu shetani! wewe ni kikwazo kwangu. mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"
qui conversus dixit petro vade post me satana scandalum es mihi quia non sapis ea quae dei sunt sed ea quae hominu
basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani gogu na magogu. shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
et ascenderunt super latitudinem terrae et circumierunt castra sanctorum et civitatem dilecta
utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa shetani, wamgeukie mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa mungu.
aperire oculos eorum ut convertantur a tenebris ad lucem et de potestate satanae ad deum ut accipiant remissionem peccatorum et sortem inter sanctos per fidem quae est in m