Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
wir verstehen die kirche und den vatikan als staat und als religiöse instanz mit allerdings politischer konnotation, die in ihrer herangehensweise manchmal diplomatisch sein muss.
tunalielewa kanisa na vatikani kama dola, kadhalika kama chombo cha dini, japokuwa lina maana pia ya kisiasa, na wakati mwingine linapaswa kuwa na diplomasia katika mtazamo wake.
2. durch m-pesa können kenianer jetzt so ziemlich alles bezahlen, sogar für das opfer in der kirche und stromrechnungen:
2. kenyans can now pay for almost anything through m-pesa, even church offerings and electricity bills:
diplomatie, obwohl sie auf ihre eigene weise gut ist, darf für die kirche jedoch nicht zu alltäglichen mittel werden, denn die dinge müssen beim namen genannt werden.
hata hivyo, diplomasia hata kama ni nzuri katika namna yake, haitakiwi kutumika sana katika kanisa kwa sababu, beleshi ni lazima liitwe beleshi.
diese trägt die Überschrift "sa sainteté, pape françois, excommuniez cinq dictateurs africains" und wendet sich direkt an den obersten vertreter der katholischen kirche.
bah, ambaye aliwahi kuandika namna anavyokubaliana na baadhi ya misimamo ya kisiasa ya papa, anapinga sifa zilizotolewa na papa kwa viongozi watano wa afrika kwa kuwakaribisha jijini vatican.
zu allererst benötigt die katholische kirche und besonders ihre (hirten) in kamerun echte "erneuerung" und "Überholung".
kwanza kabisa, kanisa katoliki na wengi wa (wachungaji) wake katika kameruni wanahitaji "kurekebishwa" au "kukarabatiwa".
aloysius agendia, ein journalist und ex-seminarist, scheint in einem artikel mit dem titel papst benedikts xvi besuch in afrika: mehr als spirituelle rhetorik vorzuschlagen, die kirche solle von staaten und politikern gemachte gesetze, die nicht im interesse der menschen sind, verurteilen, anstatt sich hinter diplomatischen roben zu verschanzen:
aloysius agendia, mwanahabari ambaye pia ni mseminari wa zamani katika makala aliyoipa kichwa cha ziara ya papa benedikti wa xvi afrika: zaidi ya kauli za kiroho inaonekana kwamba angependa kanisa lipinge vitendo vya dola na vya wanasiasa ambavyo vinaharibu maslahi ya umma badala ya kuvivika majoho ya kidiplomasia: