İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
الذي سبق فوعد به بانبيائه في الكتب المقدسة
hapo kale, mungu aliwaahidia watu hii habari njema kwa njia ya manabii wake katika maandiko matakatifu.
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ثم اخذه ابليس الى المدينة المقدسة واوقفه على جناح الهيكل.
kisha ibilisi akamchukua mpaka yerusalemu, mji mtakatifu, akamweka juu ya mnara wa hekalu,
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
وخرجوا من القبور بعد قيامته ودخلوا المدينة المقدسة وظهروا لكثيرين.
nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika mji mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
وانك منذ الطفولية تعرف الكتب المقدسة القادرة ان تحكّمك للخلاص بالايمان الذي في المسيح يسوع.
unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua maandiko matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa kristo yesu.
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
وذهب بي بالروح الى جبل عظيم عال وأراني المدينة العظيمة اورشليم المقدسة نازلة من السماء من عند الله
basi, roho akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. akanionyesha mji mtakatifu, ukishuka kutoka kwa mungu mbinguni,
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
لانه كان خيرا لهم لو لم يعرفوا طريق البر من انهم بعدما عرفوا يرتدّون عن الوصية المقدسة المسلمة لهم.
ingalikuwa afadhali kwao kama wasingalijua kamwe njia hiyo ya uadilifu kuliko kujua na kisha kuiacha na kupoteza amri takatifu waliyopokea.
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
وان كان احد يحذف من اقوال كتاب هذه النبوّة يحذف الله نصيبه من سفر الحياة ومن المدينة المقدسة ومن المكتوب في هذا الكتاب
na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ألستم تعلمون ان الذين يعملون في الاشياء المقدسة من الهيكل يأكلون. الذين يلازمون المذبح يشاركون المذبح.
je, hamjui kwamba wanaotumikia hekaluni hupata chakula chao hekaluni, na kwamba wanaotolea sadaka madhabahuni hupata sehemu ya hiyo sadaka?
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
واما الدار التي هي خارج الهيكل فاطرحها خارجا ولا تقسها لانها قد أعطيت للامم وسيدوسون المدينة المقدسة اثنين واربعين شهرا.
lakini uache ukumbi ulio nje ya hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine, ambao wataukanyanga mji mtakatifu kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
@sanasiino: أعدمت السعودية خمسة يمنيين في جيزان وتركتهم فرجة للعالم، هؤلاء هم من يحكمون في أراضينا المقدسة.
wanaume watano wa ki-yemeni wamenyongwa jana. #ksa https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0ncwdxybhc
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
في عشية احتفالهم في مصر، يذهب الأقباط إلى الكنائس ويحتفلوا بالحدث المقدس.
wakati wa mkesha wa sherehe hizo nchini misri, waumini hueelekea makanisani na kusherehekea tukio hilo takatifu.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: