Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.
eta hirietan iragaiten ciradela iracasten cituzten hetangoac ierusalemen ciraden apostoluéz eta ancianoéz eguin içan ciraden ordenancén beguiratzen.
wakati paulo alipofika, wayahudi waliokuwa wametoka yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.
hura hara ethorri cenean ingura ceçaten ierusalemetic iautsi içan ciraden iuduéc accusatione anhitz eta piçuric ekarten çutela paulen contra, cein ecin phoroga baitzitzaqueizten:
neno la mungu likazidi kuenea na idadi ya waumini huko yerusalemu ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani.
eta iaincoaren hitza aitzinaratzen cen, eta haguitz multiplicatzen cen discipuluén contua ierusalemen: sacrificadoretaric-ere tropel handiac fedea obeditzen çuen.
"wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko yerusalemu.
bada ene vicitze gaztetassunetic eraman dudanaz den becembatean, eta ceric lehen hatsetic içan den ene nationean ierusalemen, badaquite iudu guciéc:
au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi yerusalemu?
ezpa, siloeco dorreac gainera eroriric hil vkan cituen hemeçortzi hec, vste duçue ierusalemeco habitant guciac baino hoguendunago ciradela?
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe.
huná, igaiten gara ierusalemera, eta guiçonaren semea liuraturen çaye sacrificadore principaley eta scribey, eta hura condemnaturen dute hiltzera:
festo alitaka kujipendekeza kwa wayahudi na hivyo akamwuliza paulo, "je, ungependa kwenda yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"
baina festusec atseguin eguin nahiz iuduey, ihardesten ceraucala pauli, erran ceçan, nahi aiz ierusalemera igan eta han gauça hauçaz iugeatu ene aitzinean?
wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: "msiondoke yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake.
eta bildu cituenean, mana citzan ezlitecen parti ierusalemetic, baina iguriqui leçaten aitaren promessa, cein, dio, ençun baituçue eneganic.