İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
naye mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa melkisedeki.
神によって、メルキゼデクに等しい大祭司と、となえられたのである。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na melkisedeki amekwisha tokea.
そしてこの事は、メルキゼデクと同様な、ほかの祭司が立てられたことによって、ますます明白になる。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa melkisedeki.
その幕の内に、イエスは、永遠にメルキゼデクに等しい大祭司として、わたしたちのためにさきがけとなって、はいられたのである。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
maana lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, abrahamu, wakati melkisedeki alipokutana naye.
なぜなら、メルキゼデクがアブラハムを迎えた時には、レビはまだこの父祖の腰の中にいたからである。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
maana maandiko yasema: "wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa melkisedeki."
それについては、聖書に「あなたこそは、永遠に、メルキゼデクに等しい祭司である」とあかしされている。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
alisema pia mahali pengine: "wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa melkisedeki."
また、ほかの箇所でこう言われている、「あなたこそは、永遠に、メルキゼデクに等しい祭司である」。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
melkisedeki alikuwa mfalme wa salemu, na kuhani wa mungu mkuu. abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, melkisedeki alikutana naye akambariki,
このメルキゼデクはサレムの王であり、いと高き神の祭司であったが、王たちを撃破して帰るアブラハムを迎えて祝福し、
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani melkisedeki, anasemekana kwamba hafi.
その上、一方では死ぬべき人間が、十分の一を受けているが、他方では「彼は生きている者」とあかしされた人が、それを受けている。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
naye abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (maana ya kwanza ya jina hili melkisedeki ni "mfalme wa uadilifu"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa salemu, jina lake pia lina maana ya "mfalme wa amani.")
それに対して、アブラハムは彼にすべての物の十分の一を分け与えたのである。その名の意味は、第一に義の王、次にまたサレムの王、すなわち平和の王である。
Son Güncelleme: 2012-05-04
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor