来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
kama mchango wangu kwa taifa langu katika kufanikisha hukumu ya kifo kwa ufanisi, ninatumaini kuwa kifaa hiki kitawavutia maafisa.
ein beitrag von mir, um die todesurteile kompetent umsetzen zu können. ich hoffe, mein gerät weckt das interesse der verantwortlichen.
fayed anashitakiwa kwa "kuhatarisha amani miongoni mwa raia na usalama wa taifa kwa kutangaza habari za kichochezi."
fayed wird angeklagt, "die öffentliche ordnung und die nationale sicherheit bedroht zu haben, indem er aufhetzende nachrichten sendete".
na waliapa kwa mwenyezi mungu ukomo wa kuapa kwao, kwamba akiwajia mwonyaji bila ya shaka watakuwa waongofu zaidi kuliko taifa jingine lolote.
und sie haben bei allah ihren kräftigsten eid geschworen, sie würden, wenn ein warner zu ihnen käme, wahrlich eher rechtgeleitet sein als irgendeine der ge meinschaften.
hata sijui nini cha kusema lakini kile ninachoweza kusema sasa ni kwamba ninajisikia kukerwa na kwa kweli sijui cha kufanya na kile ambacho sote kama taifa tunaweza kufanya ili angalau sekta ya madini itufaidishe na sisi siku moja
weine, unser geliebtes land. warum sollte wir arm bleiben, wenn es einen Überfluss an begehrten ressourcen gibt, die auf kosten der gesundheit der einheimischen abgebaut werden.
akifanya kazi kama mwandishi wa habari mwandamizi, alijaribu kuonesha msimamo wake kwenye uandishi habari ulio na ubora ambao vyombo vya habari vinavyomilikiwa na taifa la ethiopia havikuwahi kuuonesha.
als reporterin versuchte sie, anlass zu optimismus zu geben, ohne den eine hochqualitative journalistische arbeit nicht möglich ist. in den äthiopischen staatsmedien ist diese qualität nur schwach ausgeprägt.
hakika firauni alitakabari katika nchi, na akawagawa wananchi makundi mbali mbali. akalidhoofisha taifa moja miongoni mwao, akiwachinja watoto wao wanaume na akiwaacha watoto wao wanawake.
gewiß, fir'aun zeigte sich überheblich im land und machte seine bewohner zu lagern, von denen er einen teil unterdrückte, indem er ihre söhne abschlachtete und (nur) ihre frauen am leben ließ.
kusini mashariki mwa asia serikali hazihitaji kutokee shutuma za ngono ndipo ianze kuchunga mtandao kwani huweza kutumia sababu nyingine yeyote, kama usalama wa taifa, kuchuja na kufuatilia vilivyopo kwenye mtandao.
die südostasiatischen regierungen brauchen aber nicht immer sexskandale um das netz zu zensieren, denn sie können sich auch immer auf andere gründe berufen, etwa die nationale sicherheit, um das netz zu filtern und zu überwachen.