来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
ya pili inafanana na hiyo: mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.
e il secondo è simile al primo: amerai il prossimo tuo come te stesso
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
"mmesikia kwamba ilisemwa: mpende jirani yako na kumchukia adui yako.
avete inteso che fu detto: amerai il tuo prossimo e odierai il tuo nemico
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
onora il padre e la madre, ama il prossimo tuo come te stesso»
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
mpende bwana mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.
amerai dunque il signore dio tuo con tutto il tuo cuore, con tutta la tua mente e con tutta la tua forza
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
yesu akamjibu, "mpende bwana mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote.
gli rispose: «amerai il signore dio tuo con tutto il cuore, con tutta la tua anima e con tutta la tua mente
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
maana sheria yote hutimizwa katika kushika amri hii moja: "mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
tutta la legge infatti trova la sua pienezza in un solo precetto: amerai il prossimo tuo come te stesso
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
certo, se adempite il più importante dei comandamenti secondo la scrittura: amerai il prossimo tuo come te stesso, fate bene
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote, isipokuwa kupendana; kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria. kwa maana sheria zinazosema, “usifanye uzinzi, usiue, usiibe, usitamani,” na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.” upendo haumfanyii uovu jirani ya mtu; kwa hiyo upendo ndio utimizo wa sheria.
non siate debitori di nulla a nessuno, se non di amarvi gli uni gli altri; poiché chi ama il suo simile ha adempiuto la legge. poiché il codice della legge: “non devi commettere adulterio, non devi assassinare, non devi rubare, non devi concupire”, e qualsiasi altro comandamento, si riassume in questa parola, cioè: “devi amare il tuo prossimo come te stesso”. l’amore non fa male al prossimo; perciò l’amore è l’adempimento della legge.