来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
waliposhuka pwani, yesu aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. akaanza kuwafundisha mambo mengi.
un jēzus, izkāpdams malā, redzēja daudz ļaužu; un viņam kļuva to žēl, jo tie bija kā avis, kam nav gana; un viņš daudz mācīja tos.
mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwa mwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia. kisha mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya.
bet algādzis, kas nav gans, kam avis nepieder, redzēdams vilku nākam, atstāj avis un bēg; un vilks tās nolaupa un izklīdina.
lakini yesu akawaambia, "tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya sabato?
bet viņš sacīja tiem: kurš cilvēks no jums, kam viena avs un tā sabatā iekrīt bedrē, neņemtu un neizvilktu to?
yesu akawaambia wanafunzi wake, "ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana maandiko matakatifu yasema: nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.
un jēzus sacīja viņiem: jūs visi šinī naktī ņemsiet apgrēcību no manis, jo ir rakstīts: es sitīšu ganu un avis tiks izklīdinātas.
siku ya kwanza ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, "wataka tukuandalie wapi karamu ya pasaka?"
bet pirmā neraudzētās maizes dienā, kad upurēja lieldienu jēru, viņa mācekļi sacīja viņam: kur tu vēlies, lai mēs ejam un sagatavojam tev lieldienu maltīti?
"tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia: haraka, njoo ule chakula?
bet kurš no jums, kam ir kalps, arājs vai gans, kad tas pārnāks no lauka, sacīs viņam: tūlīt nāc un sēdies pie galda?