来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
alisema rais anayependa kujionyesha kuwa yeye ni kondoo mnyenyekevu, amejizungushia wasaidizi na maswahiba ambao wanaonyesha tabia za mbwa mwitu, fisi na simba.
il a dit que le président, qui aime se comporter comme un humble mouton, s'est entouré d'aides et de confidents qui agissent comme des renards, des hyènes et des lions.
kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka.
le premier être vivant est semblable à un lion, le second être vivant est semblable à un veau, le troisième être vivant a la face d`un homme, et le quatrième être vivant est semblable à un aigle qui vole.
mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
la bête que je vis était semblable à un léopard; ses pieds étaient comme ceux d`un ours, et sa gueule comme une gueule de lion. le dragon lui donna sa puissance, et son trône, et une grande autorité.
lakini, bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.
c`est le seigneur qui m`a assisté et qui m`a fortifié, afin que la prédication fût accomplie par moi et que tous les païens l`entendissent. et j`ai été délivré de la gueule du lion.
blogu ya paula inasema, “hivi sasa maji ya mafuriko bila ya shaka yameanza kupungua lakini watu wote wameondolewa kutoka kambi zote katika samburu na shaba “ hii ni kutokana na kutarajiwa kwa mvua zaidi ambazo zinaweza kunyesha.mwanablogu wa simba wa ewaso nasema, “jambo hasa linalotisha ni kuwa mvua nyingi zaidi inatarajiwa.”
une mise à jour sur le blog de paula indique que « la décrue a apparemment commencé, mais tous les camps de samburu et de shaba ont été évacués » ceci en prévision de nouvelles pluies à venir. les blogueurs d’ewaso lions écrivent : « le plus effrayant, c’est qu’on s’attend à encore plus de pluie »