来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
maandiko matakatifu yasemaje? yanasema: kristo atatoka katika ukoo wa daudi, na atazaliwa bethlehemu, mji wa daudi!"
hath not the scripture said, that christ cometh of the seed of david, and out of the town of bethlehem, where david was?
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
mapenzi ya bibi suu kyi kwa nchi yake ya myanmar yamekuwa makubwa kiasi kwamba ametumikia kifungo cha nyumbani kwa takribani miaka kumi na nne katika nyumba iliyo kandokando ya ziwa huko yangon, ambapo amechagua kuishi kwa kuhofia kwamba huenda utawala wa mabavu wa kijeshi hautamruhusu tena kurudi ikiwa atatoka.
so strong was ms suu kyi’s passion for myanmar, she has spent close to fourteen years under detention in a lakeside villa in yangon, choosing to stay for fear that the military junta would not allow her in again if she left.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani gogu na magogu. shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
and shall go out to deceive the nations which are in the four quarters of the earth, gog and magog, to gather them together to battle: the number of whom is as the sand of the sea.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量: