来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
nyumba ya tendai biti inasemekana kulipuliwa...kwa mara nyingine
tendai biti's house has reportedly been bombed ... again — nqaba matshazi (@nqabamatshazi) february 25, 2014
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
ghina alimpoteza mama yake kwa kufukiwa kwenye kifusi kufuatia nyumba yao kulipuliwa kwa mabomu.
ghina lost her mother when they were buried under the rubble due to shelling.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
nyumba ya waziri wa zamani wa fedha wa zimbabwe tendai biti ilidaiwa kulipuliwa alfajiri ya februari 25, 2014, watumiaji wa twita na vyombo vingine vya habari vilitangaza. ni mmoja wa wanachama tegemeo wa chama cha upinzani cha mdc na mkosoaji mkubwa wa rais robert mugabe.
zimbabwe's former finance minister tendai biti's home was reportedly bombed in the early morning february 25, 2014, twitter users and other media houses announced. he is one of the key members of the opposition movement for democratic change and a staunch critic of president robert mugabe.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
kwa bahati mbaya, kama ilivyo kawaida ya uandishi wa habari kadri zinavyotokea, kulikuwa na tarifa za kujichanganya kuhusu idadi hasa ya washambuliaji, pamoja na tetesi kuhusu ndege kulipuliwa au kutekwa, hapa unaweza kuona baadhi ya miitikio kutoka kwneye mtandao wa twita dhidi ya taarifa za utatanishi zilizokuwa zinatangazwa:
irresponsible reporting unfortunately, as is typical of breaking news coverage, there were conflicting reports regarding the number of attackers, as well as other rumors regarding a plane being burned down or hijacked, here are some reactions from twitter in response to shoddy media reports:
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量: