来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
basi, alipokuwa anakaribia lango la mji, walitokea watu wamebeba maiti ya kijana mmoja, mtoto wa pekee wa mama mjane. watu wengi wa mji ule walikuwa pamoja na huyo mama.
فلما اقترب الى باب المدينة اذا ميت محمول ابن وحيد لامّه وهي ارملة ومعها جمع كثير من المدينة.
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu.
ويل لكم ايها الكتبة والفريسيون المراؤون لانكم تشبهون قبورا مبيضة تظهر من خارج جميلة وهي من داخل مملوءة عظام اموات وكل نجاسة.
kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari, nyumba ambayo washia waliyokuwa kikikutania huko giza, jijini cairo, ilishambuliwa na kuchomwa moto. kwa mujibu wa habari kutoka al badil, mtu mmoja alikaririwa kutoka kwenye chumba cha kuhifadhia maiti ambaye alisema kuwa, mmoja kati ya watu waliouawa kwa kuchinjwa na wengine watatu walijeruhiwa vibaya vichwani mwao.
وفقاً لتقارير مختلفة فإن المنزل الذي كان يجتمع فيه الشيعة يقع في الجيزة تمت مهاجمته وحرقه، وقد أوردت صحفية البديل تقريراً من المشرحة يفيد بأن أحد القتلى تم ذبحه بينما أصيب الثلاثة الباقون بجروح في رأسهم وقد أثارت هذه الحادثة المرعبة جدلاً واسعاً على الإنترنت.