来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
when i brake the five loaves among five thousand, how many baskets full of fragments took ye up? they say unto him, twelve.
wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?" wakamjibu, "kumi na viwili."
then he took the five loaves and the two fishes, and looking up to heaven, he blessed them, and brake, and gave to the disciples to set before the multitude.
kisha yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu, akavimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu.
but he said unto them, give ye them to eat. and they said, we have no more but five loaves and two fishes; except we should go and buy meat for all this people.
lakini yesu akawaambia, "wapeni ninyi chakula." wakamjibu, "hatuna chochote ila mikate mitano na samaki wawili. labda twende wenyewe tukawanunulie chakula watu wote hawa!"
and jesus took the loaves; and when he had given thanks, he distributed to the disciples, and the disciples to them that were set down; and likewise of the fishes as much as they would.
yesu akaitwaa ile mikate, akamshukuru mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo hivyo na wale samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
and he commanded the multitude to sit down on the grass, and took the five loaves, and the two fishes, and looking up to heaven, he blessed, and brake, and gave the loaves to his disciples, and the disciples to the multitude.
akawaamuru watu waketi katika nyasi. kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu. halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.