来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
فاجاب يسوع وكلم الناموسيين والفريسيين قائلا هل يحل الابراء في السبت.
yesu akawauliza walimu wa sheria na mafarisayo, "je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
حينئذ اجاب قوم من الكتبة والفريسيين قائلين يا معلّم نريد ان نرى منك آية.
kisha baadhi ya walimu wa sheria na mafarisayo wakamwambia yesu, "mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako."
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
فجاء الخدام الى رؤساء الكهنة والفريسيين. فقال هؤلاء لهم لماذا لم تأتوا به.
kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na mafarisayo; nao wakawauliza, "kwa nini hamkumleta?"
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
فأخذ يهوذا الجند وخداما من عند رؤساء الكهنة والفريسيين وجاء الى هناك بمشاعل ومصابيح وسلاح.
basi, yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
وكان تلاميذ يوحنا والفريسيين يصومون. فجاءوا وقالوا له لماذا يصوم تلاميذ يوحنا والفريسيين واما تلاميذك فلا يصومون.
wakati mmoja wanafunzi wa yohane na wanafunzi wa mafarisayo walikuwa wanafunga. basi, watu wakaja, wakamwuliza yesu, "kwa nini wanafunzi wa yohane na wa mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?"
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式