来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
basi, yesu akawaambia waziwazi, "lazaro amekufa;
tunc ergo dixit eis iesus manifeste lazarus mortuus es
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.
et deridebant eum scientes quia mortua esse
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.
nam quae in deliciis est vivens mortua es
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. wakaanza kufanya sherehe.
quia hic filius meus mortuus erat et revixit perierat et inventus est et coeperunt epular
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
maana mapendo ya kristo yanatumiliki sisi ambao tunatambua ya kwamba mtu mmoja tu amekufa kwa ajili ya wote, na hiyo ina maana kwamba wote wanashiriki kifo chake.
caritas enim christi urget nos aestimantes hoc quoniam si unus pro omnibus mortuus est ergo omnes mortui sun
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.
propter quod et ab uno orti sunt et haec emortuo tamquam sidera caeli in multitudinem et sicut harena quae est ad oram maris innumerabili
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana."
epulari autem et gaudere oportebat quia frater tuus hic mortuus erat et revixit perierat et inventus es
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. yesu akawaambia, "mfungueni, mkamwache aende zake."
et statim prodiit qui fuerat mortuus ligatus pedes et manus institis et facies illius sudario erat ligata dicit iesus eis solvite eum et sinite abir
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
bestiam quam vidisti fuit et non est et ascensura est de abysso et in interitum ibit et mirabuntur inhabitantes terram quorum non sunt scripta nomina in libro vitae a constitutione mundi videntes bestiam quia erat et non es
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量: