Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
basi, yesu akawaambia waziwazi, "lazaro amekufa;
tunc ergo dixit eis iesus manifeste lazarus mortuus es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.
et deridebant eum scientes quia mortua esse
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.
nam quae in deliciis est vivens mortua es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. wakaanza kufanya sherehe.
quia hic filius meus mortuus erat et revixit perierat et inventus est et coeperunt epular
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana mapendo ya kristo yanatumiliki sisi ambao tunatambua ya kwamba mtu mmoja tu amekufa kwa ajili ya wote, na hiyo ina maana kwamba wote wanashiriki kifo chake.
caritas enim christi urget nos aestimantes hoc quoniam si unus pro omnibus mortuus est ergo omnes mortui sun
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.
propter quod et ab uno orti sunt et haec emortuo tamquam sidera caeli in multitudinem et sicut harena quae est ad oram maris innumerabili
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana."
epulari autem et gaudere oportebat quia frater tuus hic mortuus erat et revixit perierat et inventus es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. yesu akawaambia, "mfungueni, mkamwache aende zake."
et statim prodiit qui fuerat mortuus ligatus pedes et manus institis et facies illius sudario erat ligata dicit iesus eis solvite eum et sinite abir
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
bestiam quam vidisti fuit et non est et ascensura est de abysso et in interitum ibit et mirabuntur inhabitantes terram quorum non sunt scripta nomina in libro vitae a constitutione mundi videntes bestiam quia erat et non es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: