来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
"basi, huyo bwana alikasirika sana, akamtoa huyo mtumishi aadhibiwe mpaka hapo atakapolipa deni lote.
un viņa kungs, kļuvis dusmīgs, nodeva to mocītājiem, kamēr tas neatdos visu parādu.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
yesu alipoona hivyo, alikasirika akawaambia, "waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana ufalme wa mungu ni kwa ajili ya watu walio kama watoto hawa.
jēzus, tos redzēdams, saīga un sacīja viņiem: laidiet bērniņus pie manis nākt un neliedziet viņiem, jo tādiem pieder dieva valstība.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. akaamuru watoto wote wa kiume mjini bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
tad herods, redzēdams, ka viņu gudrie izsmējuši, ļoti dusmojās, aizsūtīja un nogalināja visus bērnus, kuri bija betlēmē un visā tās apkārtnē, sākot ar diviem gadiem un jaunākus, saskaņā ar laiku, kādu viņš iztaujāja gudrajiem.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
lakini mkuu wa sunagogi alikasirika kwa sababu yesu alikuwa amemponya siku ya sabato. hivyo akawaambia wale watu walikusanyika pale, "mnazo siku sita za kufanya kazi. basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije siku ya sabato."
bet sinagogas priekšnieks, saīdzis, ka jēzus dziedināja sabatā, sāka runāt ļaudīm, sacīdams: ir sešas dienas, kurās jāstrādā; tanīs nāciet un dziedinieties, bet ne sabatā!
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式